MWANZO  >>  KISWAHILI  
1. Sera na Miongozo
2. Utapiamlo
3. Lishe ya Mama na Mtoto
4. Lishe  & UKIMWI
5. Sayansi na Teknolojia ya Chakula
6. Viashirio vya Lishe
   
   
Maswali  
SWALI NA. 1: Je maziwa yapi ni bora zaidi kwa mtoto wangu? Ni ya mama au ya kopo?
SWALI NA. 2: Je maziwa ya mama ya mwanzo ni mazuri kwa mtoto?
SWALI NA. 3: Je mama mjamzito akishajifungua tu mtoto wake ampe nini cha kumuonjesha hapa duniani, chumvi au sukari?
SWALI NA. 4: Je mtoto anatakiwa aanze kunyonyeshwa tangu lini? Mbona mimi maziwa yangu yalichelewa sana kuanza kutoka na nikamwonea huruma mwanangu nikampa maji? Je nina upungufu gani mwilini mwangu?
SWALI NA. 5: Je mtoto mdogo anayenyonya maziwa ya mama tu anasikia kiu?
SWALI NA. 6: Je kuna utaalam maalum wa kuwanyonyesha watoto wachanga?
SWALI NA. 7: Mwanangu akinyonya maziwa yangu anaharisha, Je maziwa yangu yameharibika? Kama yameharibika nifanye nini ili yawe safi?
SWALI NA. 8: Kama mtoto wangu ananyonya vizuri, ninatakia nianze lini kumpa vyakula vingine kwa mfano uji na kadhalika?
SWALI NA. 9: Nilipojifungua mtoto wangu wa mwisho titi langu moja lilivimba sana. Majirani wakanishauri nisimnyonyeshe mtoto wangu kutumia ziwa hilo. Nililiacha na kutumia titi moja tu. Je ni sahihi?
SWALI NA. 10: Ninatakiwa niendelee kumnyonyesha mtoto wangu mpaka awe na umri gani?


 
   
   
          Hatimiliki  © 2005 - 2006 Taasisi ya chakula na Lishe Tanzania | Ushauri na Huduma | Tuwasiliane