MWANZO
>>
KISWAHILI
1.
Sera na Miongozo
2.
Utapiamlo
3.
Lishe ya Mama na Mtoto
4.
Lishe & UKIMWI
5.
Sayansi na Teknolojia ya Chakula
6.
Viashirio vya Lishe
Maswali
SWALI NA. 1:
Je maziwa yapi ni bora zaidi kwa mtoto wangu? Ni ya mama au ya kopo?
SWALI NA. 2:
Je maziwa ya mama ya mwanzo ni mazuri kwa mtoto?
SWALI NA. 3:
Je mama mjamzito akishajifungua tu mtoto wake ampe nini cha kumuonjesha hapa duniani, chumvi au sukari?
SWALI NA. 4:
Je mtoto anatakiwa aanze kunyonyeshwa tangu lini? Mbona mimi maziwa yangu yalichelewa sana kuanza kutoka na nikamwonea huruma mwanangu nikampa maji? Je nina upungufu gani mwilini mwangu?
SWALI NA. 5:
Je mtoto mdogo anayenyonya maziwa ya mama tu anasikia kiu?
SWALI NA. 6:
Je kuna utaalam maalum wa kuwanyonyesha watoto wachanga?
SWALI NA. 7:
Mwanangu akinyonya maziwa yangu anaharisha, Je maziwa yangu yameharibika? Kama yameharibika nifanye nini ili yawe safi?
SWALI NA. 8:
Kama mtoto wangu ananyonya vizuri, ninatakia nianze lini kumpa vyakula vingine kwa mfano uji na kadhalika?
SWALI NA. 9:
Nilipojifungua mtoto wangu wa mwisho titi langu moja lilivimba sana. Majirani wakanishauri nisimnyonyeshe mtoto wangu kutumia ziwa hilo. Nililiacha na kutumia titi moja tu. Je ni sahihi?
SWALI NA. 10:
Ninatakiwa niendelee kumnyonyesha mtoto wangu mpaka awe na umri gani?
Your browser does not support inline frames or is currently configured not to display inline frames.
Hatimiliki © 2005 - 2006 Taasisi ya chakula na Lishe Tanzania |
Ushauri na Huduma
|
Tuwasiliane